Waamuzi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ndipo walipomwambia: “Tafadhali sema Shibolethi.”+ Naye alisema: “Sibolethi,” kwa kuwa hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi. Nao walimshika na kumuua kwenye vivuko vya Yordani. Basi wakati huo wakaanguka watu 42,000 kutoka katika Efraimu.+
6 ndipo walipomwambia: “Tafadhali sema Shibolethi.”+ Naye alisema: “Sibolethi,” kwa kuwa hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi. Nao walimshika na kumuua kwenye vivuko vya Yordani. Basi wakati huo wakaanguka watu 42,000 kutoka katika Efraimu.+