Methali 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kila mtu mwenye kiburi moyoni ni chukizo kwa Yehova.+ Mkono unaweza kuungana na mkono, hata hivyo mtu hatakosa adhabu.+ Methali 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mtu anayependa makosa anapenda mashindano.+ Mtu anayeinua mahali pake pa kuingilia anatafuta kuanguka.+ Mhubiri 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+
5 Kila mtu mwenye kiburi moyoni ni chukizo kwa Yehova.+ Mkono unaweza kuungana na mkono, hata hivyo mtu hatakosa adhabu.+
19 Mtu anayependa makosa anapenda mashindano.+ Mtu anayeinua mahali pake pa kuingilia anatafuta kuanguka.+