1 Samweli 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yehova akaita tena: “Samweli!”+ Naye Samweli akaamka, akaenda kwa Eli na kusema: “Mimi hapa, kwa maana umeniita.” Lakini yeye akasema: “Sikukuita, mwanangu.+ Lala tena.”
6 Na Yehova akaita tena: “Samweli!”+ Naye Samweli akaamka, akaenda kwa Eli na kusema: “Mimi hapa, kwa maana umeniita.” Lakini yeye akasema: “Sikukuita, mwanangu.+ Lala tena.”