1 Samweli 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Yehova akaja na kusimama hapo, akaita kama katika zile nyakati za kwanza: “Samweli, Samweli!” Ndipo Samweli akasema: “Sema, kwa maana mtumishi wako anasikiliza.”+ 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:10 w10 10/1 17 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:10 Igeni, uku. 64 Mnara wa Mlinzi (2010),10/1/2010, kur. 16-17
10 Ndipo Yehova akaja na kusimama hapo, akaita kama katika zile nyakati za kwanza: “Samweli, Samweli!” Ndipo Samweli akasema: “Sema, kwa maana mtumishi wako anasikiliza.”+