1 Samweli 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao Wafilisti pia wakasikia sauti ya kelele hizo, wakaanza kusema: “Hii sauti ya hizi kelele kubwa+ katika kambi ya Waebrania inamaanisha nini?” Mwishowe wakaja kujua kwamba sanduku la Yehova lilikuwa limekuja katika kambi.
6 Nao Wafilisti pia wakasikia sauti ya kelele hizo, wakaanza kusema: “Hii sauti ya hizi kelele kubwa+ katika kambi ya Waebrania inamaanisha nini?” Mwishowe wakaja kujua kwamba sanduku la Yehova lilikuwa limekuja katika kambi.