1 Samweli 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini Yonathani hakusikia wakati baba yake alipowaapisha watu,+ kwa hiyo akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaichovya ndani ya lile sega la asali na kuurudisha mkono wake kinywani pake, na macho yake yakaanza kung’aa.+ 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:27 w05 3/15 22 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:27 The Watchtower,3/15/2005, uku. 226/1/1986, uku. 31
27 Lakini Yonathani hakusikia wakati baba yake alipowaapisha watu,+ kwa hiyo akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaichovya ndani ya lile sega la asali na kuurudisha mkono wake kinywani pake, na macho yake yakaanza kung’aa.+