1 Samweli 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mfalme alikuwa ameketi katika kiti chake kama katika zile nyakati nyingine, katika kiti kilicho kando ya ukuta; na Yonathani alikuwa anamwelekea, na Abneri+ alikuwa ameketi kando ya Sauli, lakini mahali pa Daudi palikuwa wazi.
25 Na mfalme alikuwa ameketi katika kiti chake kama katika zile nyakati nyingine, katika kiti kilicho kando ya ukuta; na Yonathani alikuwa anamwelekea, na Abneri+ alikuwa ameketi kando ya Sauli, lakini mahali pa Daudi palikuwa wazi.