1 Samweli 20:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mara moja Yonathani akasimama kutoka mezani akiwa na hasira kali,+ naye hakula mkate katika siku ya pili baada ya mwezi mpya, kwa maana alikuwa ameumizwa moyoni kwa habari ya Daudi,+ kwa sababu baba yake mwenyewe alikuwa amemfedhehesha.+
34 Mara moja Yonathani akasimama kutoka mezani akiwa na hasira kali,+ naye hakula mkate katika siku ya pili baada ya mwezi mpya, kwa maana alikuwa ameumizwa moyoni kwa habari ya Daudi,+ kwa sababu baba yake mwenyewe alikuwa amemfedhehesha.+