1 Samweli 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwishowe akafika kwenye mazizi ya mawe ya kondoo kando ya barabara, mahali ambapo palikuwa na pango. Basi Sauli akaingia ndani kwenda haja,+ huku Daudi na watu wake wakiwa katika sehemu za nyuma kabisa za pango hilo,+ wakiwa wameketi. 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 24:3 Mnara wa Mlinzi,11/1/1989, uku. 16
3 Mwishowe akafika kwenye mazizi ya mawe ya kondoo kando ya barabara, mahali ambapo palikuwa na pango. Basi Sauli akaingia ndani kwenda haja,+ huku Daudi na watu wake wakiwa katika sehemu za nyuma kabisa za pango hilo,+ wakiwa wameketi.