1 Samweli 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mara moja akamuuliza huyo mwanamke: “Ana umbo gani?” naye akasema: “Ni mwanamume mzee anayepanda juu, naye amevaa koti lisilo na mikono.”+ Ndipo Sauli akatambua kwamba huyo alikuwa ni “Samweli,”+ naye akainama kifudifudi, akasujudu. 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 28:14 w10 1/1 20; rs 140-141 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:14 Mnara wa Mlinzi (2010),1/1/2010, uku. 201/15/1988, uku. 3 Kutoa Sababu, kur. 140-141
14 Mara moja akamuuliza huyo mwanamke: “Ana umbo gani?” naye akasema: “Ni mwanamume mzee anayepanda juu, naye amevaa koti lisilo na mikono.”+ Ndipo Sauli akatambua kwamba huyo alikuwa ni “Samweli,”+ naye akainama kifudifudi, akasujudu.