2 Samweli 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Tamari akaenda nyumbani kwa Amnoni+ ndugu yake alipokuwa amelala. Kisha akachukua unga wa kukandwa, akaukanda, akatayarisha hizo keki chini ya macho yake, akaoka keki zenye umbo la moyo.
8 Basi Tamari akaenda nyumbani kwa Amnoni+ ndugu yake alipokuwa amelala. Kisha akachukua unga wa kukandwa, akaukanda, akatayarisha hizo keki chini ya macho yake, akaoka keki zenye umbo la moyo.