8 Yehova amerudisha juu yako hatia yote ya damu kwa ajili ya nyumba ya Sauli ambaye umetawala ukiwa mfalme mahali pake; na Yehova anautia ufalme mkononi mwa Absalomu mwana wako. Na sasa tazama, umo katika msiba wako, kwa sababu wewe ni mtu mwenye hatia ya damu!”+