2 Samweli 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na bado akasema: “Acha sasa litakalotokea litokee, acha nikimbie.” Basi akamwambia: “Kimbia!” Ndipo Ahimaazi akaanza kukimbia kupitia njia ya ile Wilaya,+ na mwishowe akampita yule Mkushi.
23 Na bado akasema: “Acha sasa litakalotokea litokee, acha nikimbie.” Basi akamwambia: “Kimbia!” Ndipo Ahimaazi akaanza kukimbia kupitia njia ya ile Wilaya,+ na mwishowe akampita yule Mkushi.