2 Samweli 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na tazama, yule Mkushi+ akaingia, na huyo Mkushi akaanza kusema: “Acha bwana wangu mfalme apokee habari, kwa maana Yehova amekuhukumu leo ili kukuweka huru kutoka mkononi mwa wote wanaosimama juu yako.”+
31 Na tazama, yule Mkushi+ akaingia, na huyo Mkushi akaanza kusema: “Acha bwana wangu mfalme apokee habari, kwa maana Yehova amekuhukumu leo ili kukuweka huru kutoka mkononi mwa wote wanaosimama juu yako.”+