2 Samweli 22:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na ndiye anayeniondoa kwa adui zangu.+Nawe utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu;+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye vitendo vya jeuri.+ Zaburi 55:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika ataikomboa na kuiweka nafsi yangu katika amani mbali na vita vinavyofanywa juu yangu,+Kwa maana wakiwa umati wamekuja kuwa dhidi yangu.+ Zaburi 94:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 94 Ee Mungu wa matendo ya kisasi, Yehova,+Ee Mungu wa matendo ya kisasi, uangaze!+ Zaburi 124:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kama Yehova hangekuwa upande wetu+Watu waliposimama dhidi yetu,+
49 Na ndiye anayeniondoa kwa adui zangu.+Nawe utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu;+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye vitendo vya jeuri.+
18 Hakika ataikomboa na kuiweka nafsi yangu katika amani mbali na vita vinavyofanywa juu yangu,+Kwa maana wakiwa umati wamekuja kuwa dhidi yangu.+