9 Na watu wote wakaja kuhusika katika ugomvi katika makabila yote ya Israeli, wakisema: “Mfalme ndiye aliyetuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu,+ na yeye ndiye aliyetuokoa mkononi mwa Wafilisti; na sasa amekimbia kutoka katika nchi mbele ya Absalomu.+