2 Samweli 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Arauna akasema: “Kwa nini bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?” Ndipo Daudi akasema: “Ili kununua+ kutoka kwako uwanja wa kupuria kwa ajili ya kumjengea Yehova madhabahu, ili tauni+ ikomeshwe juu ya watu.”
21 Kisha Arauna akasema: “Kwa nini bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?” Ndipo Daudi akasema: “Ili kununua+ kutoka kwako uwanja wa kupuria kwa ajili ya kumjengea Yehova madhabahu, ili tauni+ ikomeshwe juu ya watu.”