1 Wafalme 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Tena juu ya mabamba ya pande zake na juu ya kuta zake za pembeni akachonga+ makerubi, simba na maumbo ya mitende kulingana na nafasi iliyo wazi ya kila kimoja, na shada kuzunguka pande zote.+
36 Tena juu ya mabamba ya pande zake na juu ya kuta zake za pembeni akachonga+ makerubi, simba na maumbo ya mitende kulingana na nafasi iliyo wazi ya kila kimoja, na shada kuzunguka pande zote.+