Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe utachukua mawe mawili ya shohamu+ na kuchonga+ majina ya wana wa Israeli juu yake,+

  • Kutoka 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha wakafanya mawe ya shohamu+ yaliyopangwa kwenye mapambo ya dhahabu, yaliyochongwa kwa michoro ya muhuri kulingana na majina ya wana wa Israeli.+

  • Kutoka 39:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mwishowe wakafanya lile bamba linalong’aa, ishara takatifu ya wakfu, kutokana na dhahabu safi na kuandika juu yake maandishi kwa mchongo wa muhuri: “Utakatifu ni wa Yehova.”+

  • 1 Wafalme 6:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na kuta zote kuzunguka ile nyumba akazichonga kwa michongo ya makerubi+ na maumbo ya mitende+ na michongo ya maua,+ ndani na nje;

  • 1 Wafalme 6:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na ile milango miwili ilikuwa ya mbao za mfuta, naye akachonga juu yake michongo ya makerubi na maumbo ya mitende na michoro ya maua, naye akaifunika kwa dhahabu; kisha akafua ile dhahabu juu ya wale makerubi na yale maumbo ya mitende.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki