9 Kisha akakiweka kilemba+ juu ya kichwa chake na kuweka juu ya kile kilemba upande wa mbele bamba linalong’aa la dhahabu, ile ishara takatifu ya wakfu,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
20 “Katika siku hiyo juu ya kengele za farasi kutakuwa na+ maneno ‘Utakatifu ni wa Yehova!’+ Na vyungu vya kupikia vyenye mdomo mpana+ vilivyo katika nyumba ya Yehova vitakuwa kama mabakuli+ yaliyo mbele ya madhabahu.+