Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Nawe utafanya bamba linalong’aa la dhahabu safi na kulichonga kwa michongo ya muhuri, ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+

  • Mambo ya Walawi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akakiweka kilemba+ juu ya kichwa chake na kuweka juu ya kile kilemba upande wa mbele bamba linalong’aa la dhahabu, ile ishara takatifu ya wakfu,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • Zekaria 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Katika siku hiyo juu ya kengele za farasi kutakuwa na+ maneno ‘Utakatifu ni wa Yehova!’+ Na vyungu vya kupikia vyenye mdomo mpana+ vilivyo katika nyumba ya Yehova vitakuwa kama mabakuli+ yaliyo mbele ya madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki