2 Mambo ya Nyakati 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo wakawachinja+ wale ng’ombe na makuhani wakapokea damu+ na kuinyunyiza+ juu ya madhabahu; kisha wakawachinja wale kondoo-dume+ na kuinyunyiza damu+ juu ya madhabahu, nao wakawachinja wana-kondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.
22 Kwa hiyo wakawachinja+ wale ng’ombe na makuhani wakapokea damu+ na kuinyunyiza+ juu ya madhabahu; kisha wakawachinja wale kondoo-dume+ na kuinyunyiza damu+ juu ya madhabahu, nao wakawachinja wana-kondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.