Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mwishowe wakafanya lile bamba linalong’aa, ishara takatifu ya wakfu, kutokana na dhahabu safi na kuandika juu yake maandishi kwa mchongo wa muhuri: “Utakatifu ni wa Yehova.”+

  • Mambo ya Walawi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akakiweka kilemba+ juu ya kichwa chake na kuweka juu ya kile kilemba upande wa mbele bamba linalong’aa la dhahabu, ile ishara takatifu ya wakfu,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake,+

      Chukueni zawadi na mwingie mbele zake.+

      Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+

  • Zaburi 93:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Vikumbusho vyako vimekuwa vyenye kutegemeka sana.+

      Utakatifu unaifaa nyumba yako mwenyewe,+ Ee Yehova, kwa wingi wa siku.+

  • Zekaria 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Katika siku hiyo juu ya kengele za farasi kutakuwa na+ maneno ‘Utakatifu ni wa Yehova!’+ Na vyungu vya kupikia vyenye mdomo mpana+ vilivyo katika nyumba ya Yehova vitakuwa kama mabakuli+ yaliyo mbele ya madhabahu.+

  • Waebrania 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+

  • 1 Petro 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu imeandikwa: “Muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki