30 Mwishowe wakafanya lile bamba linalong’aa, ishara takatifu ya wakfu, kutokana na dhahabu safi na kuandika juu yake maandishi kwa mchongo wa muhuri: “Utakatifu ni wa Yehova.”+
9 Kisha akakiweka kilemba+ juu ya kichwa chake na kuweka juu ya kile kilemba upande wa mbele bamba linalong’aa la dhahabu, ile ishara takatifu ya wakfu,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
20 “Katika siku hiyo juu ya kengele za farasi kutakuwa na+ maneno ‘Utakatifu ni wa Yehova!’+ Na vyungu vya kupikia vyenye mdomo mpana+ vilivyo katika nyumba ya Yehova vitakuwa kama mabakuli+ yaliyo mbele ya madhabahu.+
26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+