1 Wafalme 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na juu ya kuta za pembeni zilizokuwa kati ya ile mitarimbo palikuwa na simba,+ ng’ombe-dume+ na makerubi,+ na juu ya ile mitarimbo ilikuwa hivyo. Juu na chini ya wale simba na wale ng’ombe-dume palikuwa na shada+ katika kazi inayoning’inia.
29 Na juu ya kuta za pembeni zilizokuwa kati ya ile mitarimbo palikuwa na simba,+ ng’ombe-dume+ na makerubi,+ na juu ya ile mitarimbo ilikuwa hivyo. Juu na chini ya wale simba na wale ng’ombe-dume palikuwa na shada+ katika kazi inayoning’inia.