19 Kulikuwa na vipandio sita vilivyoelekea kwenye kile kiti cha ufalme, na kile kiti kilikuwa na paa la mviringo nyuma yake, na kulikuwa na mikono ya kiti upande huu na upande ule kando ya mahali pa kuketi, na simba+ wawili walisimama kando ya ile mikono ya kiti.+