Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kulikuwa na vipandio sita vilivyoelekea kwenye kile kiti cha ufalme, na kile kiti kilikuwa na paa la mviringo nyuma yake, na kulikuwa na mikono ya kiti upande huu na upande ule kando ya mahali pa kuketi, na simba+ wawili walisimama kando ya ile mikono ya kiti.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kulikuwa na simba+ kumi na wawili waliosimama hapo juu ya vile vipandio sita, upande huu na upande ule. Hakuna ufalme mwingine wowote uliokuwa na kiti kilichotengenezwa hivyo.+

  • Ezekieli 41:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao uso wa mwanadamu ulielekea umbo la mtende upande huu, na uso wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni ulielekea umbo la mtende upande ule,+ wakiwa wamechongwa juu ya nyumba yote kuizunguka pande zote.

  • Hosea 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana mimi nitakuwa kama mwana-simba kwa Efraimu+ na kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni kwa nyumba ya Yuda. Mimi, mimi mwenyewe nitararua vipande-vipande nami nitaenda na kuchukulia mbali, na hapatakuwa na mkombozi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki