Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na basi akamfukuza huyo mtu, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni+ makerubi+ na upanga unaowaka ambao ulikuwa unajizungusha-zungusha ili kuilinda njia ya kwenda kwenye ule mti wa uzima.

  • Kutoka 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nawe utafanya makerubi wawili wa dhahabu. Utawafanya kwa kazi ya kufua kwenye miisho miwili ya kifuniko.+

  • 1 Wafalme 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kisha akawaweka wale makerubi ndani ya ile nyumba ya ndani, hivi kwamba wakayanyoosha mabawa ya hao makerubi.+ Basi bawa la kerubi mmoja likafika kwenye ukuta na bawa la yule mwingine likafika kwenye ule ukuta mwingine; na mabawa yao yalikuwa kuelekea katikati ya nyumba, bawa kwa bawa yakigusana.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 na kwa madhabahu ya uvumba+ dhahabu safi kulingana na uzito na kwa ajili ya mfano wa gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu kwa ajili ya kutandaza mabawa yao na kusitiri sanduku la agano la Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akafunika kwa dhahabu ile nyumba, maboriti, vizingiti na kuta zake na milango yake;+ akachonga makerubi juu ya kuta.+

  • Ezekieli 41:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 hata makerubi+ waliochongwa na maumbo ya mitende,+ pakiwa umbo la mtende katikati ya kerubi na kerubi, naye kerubi alikuwa na nyuso mbili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki