16 “Ee Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi, wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu na dunia.+
5 lakini upande wake wa juu palikuwa na wale makerubi+ wenye utukufu waliokifunika kile kifuniko cha upatanisho.+ Lakini sasa si wakati wa kusema kirefu habari za vitu hivyo.