1 Wafalme 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Watu hawa wakiendelea kwenda kutoa dhabihu katika nyumba ya Yehova huko Yerusalemu,+ moyo wa watu hawa pia utarudi kwa bwana wao, Rehoboamu mfalme wa Yuda; nao hakika wataniua+ na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda.”
27 Watu hawa wakiendelea kwenda kutoa dhabihu katika nyumba ya Yehova huko Yerusalemu,+ moyo wa watu hawa pia utarudi kwa bwana wao, Rehoboamu mfalme wa Yuda; nao hakika wataniua+ na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda.”