1 Wafalme 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na ikawa kwamba baada ya kumzika akawaambia wanawe: “Nitakapokufa mnizike katika kaburi ambamo yule mtu wa Mungu wa kweli amezikwa. Wekeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.+
31 Na ikawa kwamba baada ya kumzika akawaambia wanawe: “Nitakapokufa mnizike katika kaburi ambamo yule mtu wa Mungu wa kweli amezikwa. Wekeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.+