1 Wafalme 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Yehova alikuwa amemwambia Ahiya: “Tazama, mke wa Yeroboamu anakuja kuomba neno kutoka kwako kuhusu mwana wake; kwa maana ni mgonjwa. Umwambie hivi na hivi. Na itatukia kwamba mara tu atakapofika, atakuwa anajifanya asiweze kutambuliwa.”+
5 Na Yehova alikuwa amemwambia Ahiya: “Tazama, mke wa Yeroboamu anakuja kuomba neno kutoka kwako kuhusu mwana wake; kwa maana ni mgonjwa. Umwambie hivi na hivi. Na itatukia kwamba mara tu atakapofika, atakuwa anajifanya asiweze kutambuliwa.”+