1 Wafalme 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi neno la Yehova likamjia Eliya katika mwaka wa tatu, na kusema: “Nenda, jionyeshe kwa Ahabu, kwa kuwa nimeazimia kunyesha mvua+ juu ya uso wa nchi.”+ 1 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:1 w08 4/1 19 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:1 Mnara wa Mlinzi,4/1/2008, uku. 194/1/1992, uku. 17
18 Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi neno la Yehova likamjia Eliya katika mwaka wa tatu, na kusema: “Nenda, jionyeshe kwa Ahabu, kwa kuwa nimeazimia kunyesha mvua+ juu ya uso wa nchi.”+