2 Wafalme 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa sababu hawakuisikiliza+ sauti ya Yehova Mungu wao, bali waliendelea kuvunja agano lake,+ naam, yote ambayo Musa+ mtumishi wa Yehova aliamuru.+ Hawakusikiliza wala kutenda.
12 kwa sababu hawakuisikiliza+ sauti ya Yehova Mungu wao, bali waliendelea kuvunja agano lake,+ naam, yote ambayo Musa+ mtumishi wa Yehova aliamuru.+ Hawakusikiliza wala kutenda.