2 Wafalme 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa Eliya akamwambia: “Elisha, tafadhali keti hapa, kwa sababu Yehova amenituma Yeriko.”+ Lakini yeye akasema: “Kama Yehova anavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi, mimi sitakuacha.” Basi wakaenda mpaka Yeriko. 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:4 Igeni Imani Yao, makala 1 Mnara wa Mlinzi,4/15/2015, kur. 12-138/15/2013, uku. 29
4 Sasa Eliya akamwambia: “Elisha, tafadhali keti hapa, kwa sababu Yehova amenituma Yeriko.”+ Lakini yeye akasema: “Kama Yehova anavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi, mimi sitakuacha.” Basi wakaenda mpaka Yeriko.