26 Ndipo Yoshua akatangaza kiapo wakati huo, akasema: “Na alaaniwe mbele za Yehova mtu yule atakayesimama na kujenga jiji hili, yaani, Yeriko. Kwa kufiwa na mzaliwa wake wa kwanza na auweke msingi wake, na kwa kufiwa na mwana wake aliye mdogo zaidi na aisimamishe milango yake.”+