2 Wafalme 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya muda watu wa jiji lile wakamwambia Elisha: “Tazama, mahali lilipo jiji hili ni pazuri,+ kama bwana wangu anavyoona; lakini maji+ ni mabaya, na nchi inasababisha mimba ziharibike.”+
19 Baada ya muda watu wa jiji lile wakamwambia Elisha: “Tazama, mahali lilipo jiji hili ni pazuri,+ kama bwana wangu anavyoona; lakini maji+ ni mabaya, na nchi inasababisha mimba ziharibike.”+