7 Basi Elisha akasema: “Sikilizeni neno la Yehova.+ Yehova amesema hivi, ‘Kesho karibu na wakati kama huu kipimo kimoja cha sea cha unga laini kitakuwa na thamani ya shekeli moja, na vipimo viwili vya sea vya shayiri vitakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.’”+