2 Wafalme 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baadaye Yehoramu+ mfalme akarudi kule Yezreeli+ ili apone yale majeraha ambayo Wasiria walimtia alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.+ Sasa Yehu akasema: “Nafsi yenu ikikubali,+ msiache yeyote akimbie kutoka jijini na kupeleka habari Yezreeli.” 2 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:15 w11 11/15 3 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:15 Mnara wa Mlinzi,11/15/2011, uku. 3
15 Baadaye Yehoramu+ mfalme akarudi kule Yezreeli+ ili apone yale majeraha ambayo Wasiria walimtia alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.+ Sasa Yehu akasema: “Nafsi yenu ikikubali,+ msiache yeyote akimbie kutoka jijini na kupeleka habari Yezreeli.”