2 Wafalme 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kama walivyofanya mababu zake.+ Hakuacha dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+
9 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kama walivyofanya mababu zake.+ Hakuacha dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+