25 Ndipo Peka+ mwana wa Remalia amiri msaidizi+ wake akapanga hila+ juu yake, akampiga katika Samaria katika mnara wa makao wa nyumba ya mfalme+ pamoja na Argobu na Arie, na pamoja naye palikuwa watu 50 wa wana wa Gileadi. Basi akamuua na kuanza kutawala mahali pake.