2 Wafalme 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaendelea kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na kufukiza moshi+ wa toleo lake la nafaka+ na kumimina toleo lake la kinywaji+ na kunyunyiza damu ya matoleo yake ya ushirika juu ya ile madhabahu.
13 Naye akaendelea kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na kufukiza moshi+ wa toleo lake la nafaka+ na kumimina toleo lake la kinywaji+ na kunyunyiza damu ya matoleo yake ya ushirika juu ya ile madhabahu.