38 Hao wote walikuwa wanaume wa vita, wakimiminika pamoja kujipanga katika vikosi vya kupigana; walikuja kwa moyo kamili+ huko Hebroni ili kumfanya Daudi kuwa mfalme juu ya Israeli wote; na pia waliobaki wa Israeli walikuwa na moyo mmoja kwa ajili ya kumfanya Daudi kuwa mfalme.+