2 Mambo ya Nyakati 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Walawi wanapaswa kumzunguka mfalme pande zote,+ kila mmoja akiwa na silaha zake mkononi mwake; na mtu yeyote atakayeingia ndani ya nyumba, anapaswa kuuawa. Nanyi mwendelee kuwa na mfalme anapoingia ndani na anapotoka nje.”
7 Na Walawi wanapaswa kumzunguka mfalme pande zote,+ kila mmoja akiwa na silaha zake mkononi mwake; na mtu yeyote atakayeingia ndani ya nyumba, anapaswa kuuawa. Nanyi mwendelee kuwa na mfalme anapoingia ndani na anapotoka nje.”