2 Mambo ya Nyakati 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Amazia, na hivyo akamtumia nabii na kumwambia: “Kwa nini umeitafuta+ miungu ya watu+ ambayo haikuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwako?”+
15 Kwa hiyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Amazia, na hivyo akamtumia nabii na kumwambia: “Kwa nini umeitafuta+ miungu ya watu+ ambayo haikuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwako?”+