2 Mambo ya Nyakati 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia walifunga milango+ ya ukumbi na kuzima taa,+ nao hawakufukiza uvumba,+ wala hawakumtolea Mungu wa Israeli dhabihu ya kuteketezwa katika mahali patakatifu.+
7 Pia walifunga milango+ ya ukumbi na kuzima taa,+ nao hawakufukiza uvumba,+ wala hawakumtolea Mungu wa Israeli dhabihu ya kuteketezwa katika mahali patakatifu.+