Ezra 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini wakaahidi kwa kupeana mikono kwamba watawafukuza wake zao, na kwamba, kwa kuwa walikuwa na hatia,+ kondoo-dume+ wa kundi atolewe kwa ajili ya hatia yao.
19 Lakini wakaahidi kwa kupeana mikono kwamba watawafukuza wake zao, na kwamba, kwa kuwa walikuwa na hatia,+ kondoo-dume+ wa kundi atolewe kwa ajili ya hatia yao.