Nehemia 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo mfalme akaniambia, huku malkia wake akiwa ameketi kando yake: “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi wakati gani?” Basi ikaonekana vema+ kwa mfalme kunituma, nilipompa wakati uliowekwa.+
6 Ndipo mfalme akaniambia, huku malkia wake akiwa ameketi kando yake: “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi wakati gani?” Basi ikaonekana vema+ kwa mfalme kunituma, nilipompa wakati uliowekwa.+