Nehemia 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Pia, sehemu ya wana wa Yuda na sehemu ya wana wa Benyamini walikaa Yerusalemu.+ Kati ya wana wa Yuda kulikuwa na Athaya mwana wa Uzia mwana wa Zekaria mwana wa Amaria mwana wa Shefatia mwana wa Mahalaleli wa wana wa Perezi;+
4 Pia, sehemu ya wana wa Yuda na sehemu ya wana wa Benyamini walikaa Yerusalemu.+ Kati ya wana wa Yuda kulikuwa na Athaya mwana wa Uzia mwana wa Zekaria mwana wa Amaria mwana wa Shefatia mwana wa Mahalaleli wa wana wa Perezi;+