Esta 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme+ walikuwa wanainama na kumsujudia Hamani, kwa maana mfalme alikuwa ametoa amri hiyo kumhusu. Lakini Mordekai hakuinama wala kusujudu.+ Esta Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:2 w11 10/1 21; w06 3/1 9 Esta Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:2 Igeni, uku. 131 Mnara wa Mlinzi,10/1/2011, uku. 213/1/2006, uku. 93/15/1986, uku. 21
2 Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme+ walikuwa wanainama na kumsujudia Hamani, kwa maana mfalme alikuwa ametoa amri hiyo kumhusu. Lakini Mordekai hakuinama wala kusujudu.+