Esta 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Esta akasema: “Ikiwa kwa mfalme inaonekana vema,+ Wayahudi walio katika Shushani na wapewe ruhusa kesho pia kufanya kulingana na sheria ya leo;+ na hao wana kumi wa Hamani watundikwe juu ya mti.”+
13 Kwa hiyo Esta akasema: “Ikiwa kwa mfalme inaonekana vema,+ Wayahudi walio katika Shushani na wapewe ruhusa kesho pia kufanya kulingana na sheria ya leo;+ na hao wana kumi wa Hamani watundikwe juu ya mti.”+