Wimbo wa Sulemani 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kuna mmoja ambaye ni njiwa wangu,+ wangu asiye na lawama.+ Kuna mmoja ambaye ni wa mama yake. Yeye ndiye aliye safi wa yule aliyemzaa. Binti wamemwona, nao wakamtangaza kuwa mwenye furaha; malkia na masuria, nao wakaanza kumsifu,+
9 Lakini kuna mmoja ambaye ni njiwa wangu,+ wangu asiye na lawama.+ Kuna mmoja ambaye ni wa mama yake. Yeye ndiye aliye safi wa yule aliyemzaa. Binti wamemwona, nao wakamtangaza kuwa mwenye furaha; malkia na masuria, nao wakaanza kumsifu,+