Isaya 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata hivyo, Wamisri ni watu wa udongo,+ wala si Mungu; na farasi wao ni nyama,+ wala si roho. Na Yehova mwenyewe atanyoosha mkono wake, na yeye anayetoa usaidizi atajikwaa, na yeye anayesaidiwa ataanguka,+ nao wote watafikia mwisho wakati mmoja. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 31:3 ip-1 320-321 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:3 Unabii wa Isaya 1, kur. 320-321
3 Hata hivyo, Wamisri ni watu wa udongo,+ wala si Mungu; na farasi wao ni nyama,+ wala si roho. Na Yehova mwenyewe atanyoosha mkono wake, na yeye anayetoa usaidizi atajikwaa, na yeye anayesaidiwa ataanguka,+ nao wote watafikia mwisho wakati mmoja.